Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 6 | Works and Transport | Wizara ya Uchukuzi | 101 | 2025-02-04 |
Name
Dr. Angeline Sylvester Lubala Mabula
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Ilemela
Primary Question
MHE. DKT. ANGELINE S. L. MABULA aliuliza: -
Je, lini Wananchi wa Kiwanja cha Ndege Mwanza watalipwa fidia zao kwa kuwa tathmini imefanyika mara mbili sasa?
Name
Prof. Makame Mnyaa Mbarawa
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mkoani
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI K.n.y. WAZIRI WA UCHUKUZI alijibu: -
Mheshimiwa Spika, Wizara ya Uchukuzi kwa kushirikiana na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela na Nyamagana zinaendelelea kukamilisha taratibu za uteuzi wa eneo ambalo litapangwa na kupimwa ili wananchi watakaoondolewa wamilikishwe kwa gharama nafuu. Katika zoezi hilo jumla Kaya zipatazo 1,404 zinatakiwa kupisha eneo la Uwanja wa Ndege wa Mwanza, ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved