Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 2 | Energy and Minerals | Wizara ya Nishat | 22 | 2025-04-09 |
Name
Vincent Paul Mbogo
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Nkasi Kusini
Primary Question
MHE. VINCENT P. MBOGO aliuliza:-
Je, lini Serikali itapeleka umeme katika Kitongoji cha Lupata Kata ya Kizumbi, Kijiji cha Lyela na Vijiji vya Mwinza na Izinga Kata ya Wampembe?
Name
Judith Salvio Kapinga
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Answer
NAIBU WAZIRI WA NISHATI alijibu:-
Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini imekamilisha kupeleka umeme katika vijiji vyote Tanzania Bara vikiwemo Vijiji vya Mwinza na Izinga vilivyopo katika Kata ya Wampembe. Aidha, Kitongoji cha Lupata kilichopo Kata ya Kizumbi kitapata umeme kupitia mradi wa kupeleka umeme katika vitongoji 15 vya kila Mbunge (Hamlet Electrification Project) na Kitongoji cha Lyela Kata ya Wampembe kitapata umeme kupitia miradi mingine itakayokuja kulingana na upatikanaji wa fedha. Ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved