Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 39 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 511 | 2025-06-04 |
Name
Tumaini Bryceson Magessa
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Busanda
Primary Question
MHE. TUMAINI B. MAGESSA aliuliza: -
Je, Serikali ipo hatua gani kwenye ujenzi wa kipande cha barabara kutoka Katoro hadi Daraja la Nyikonga kwenye Barabara ya Katoro – Ushirombo?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Spika, Serikali imeanza taratibu za kuijenga barabara hii kwa kuanza na ujenzi wa Daraja ya Nyikonga ambapo zabuni kwa ajili ya kumpata mkandarasi wa ujenzi wa daraja ziko hatua za mwisho. Kwa upande wa barabara, upembuzi yakinifu na usanifu wa kina umekamilika na kwa sasa Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kuanza ujenzi.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved