Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 18 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 231 | 2025-05-06 |
Name
Abubakar Damian Asenga
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kilombero
Primary Question
MHE. ABUBAKARI D. ASENGA aliuliza: -
Je, lini Serikali itapunguza Mlima Mang’ula Kona Kilombero ikiwa ni ahadi ya Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Mwenyekiti, eneo la Mlima Mang’ula Kona ambalo liko Kilombero, kandokando mwa barabara ya Mikumi – Kidatu – Ifakara. Eneo hilo limeshafanyiwa ukaguzi na kazi ya usanifu ipo kwenye hatua za mwisho kwa ajili ya kupunguza ama kukata kipande cha mlima na uimarishaji wa kingo ili kuzuia maporomoko ya udongo wakati na baada ya kukata.
Mheshimiwa Mwenyekiti, kazi ya kupunguza mlima itaanza mara tu baada ya kukamilika usanifu na kumpata mkandarasi wa kutekeleza kazi hiyo, ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved