Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Primary Question

Term Session Sitting Sector Ministry Qn No Date
2020-2025 Session 15 Sitting 43 Information, Communication and Information Technology Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari 560 2024-06-07

Name

Joseph Michael Mkundi

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ukerewe

Primary Question

MHE. JOSEPH M. MKUNDI aliuliza:-

Je, ni lini Serikali itaongeza nguvu ya mnara katika Kata ya Bukiko kutoka 2G hadi 3G na kuweka generator kwa kuwa kata hiyo ina shida kubwa ya mawasiliano?

Name

Maryprisca Winfred Mahundi

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Answer

NAIBU WAZIRI WA HABARI, MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) itaijumuisha kata ya Bukiko katika mradi wa kuboresha huduma za mawasiliano kwa kuongeza teknolojia za 3G na 4G na pia mradi huu utaimarisha miundombinu ya nishati ikiwemo ya kuweka generator. Utekelezaji wa mradi huu utaanza katika mwaka wa fedha wa 2024/2025.