Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 4 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 62 | 2025-01-31 |
Name
Godwin Emmanuel Kunambi
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mlimba
Primary Question
MHE. GODWIN E. KUNAMBI aliuliza: -
Je, lini Serikali itakamilisha ujenzi wa gati katika Mto Mnyela, kuunganisha Halmashauri ya Mlimba kupitia vijiji vya Ngalimila na Ngombi?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Spika, Wizara kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) inaendelea na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa maegesho ya kivuko eneo la Kikove – Ngoheranga ili kuunganisha Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba na Malinyi kupitia vijiji vya Ngalimila na Ngombi ambapo ujenzi wa mradi huu ulianza tarehe 11 Desemba, 2024 na unatarajiwa kukamilika tarehe 30 Septemba, 2025. Ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved