Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 4 | Livestock , Fisheries, Agriculture, Food Security and Cooperatives | Wizara ya Kilimo | 66 | 2025-01-31 |
Name
Masache Njelu Kasaka
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Lupa
Primary Question
MHE. MASACHE N. KASAKA aliuliza:-
Je, lini Serikali itapeleka fedha kukamilisha ujenzi wa Skimu ya Umwagiliaji, Ifumbo, Chunya?
Name
David Ernest Silinde
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Tunduma
Answer
NAIBU WAZIRI WA KILIMO alijibu:-
Mheshimiwa Spika, ahsante sana. Katika Mpango na Bajeti ya Mwaka 2025/2026 Serikali, kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, itatenga fedha, kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina, ili kujua gharama halisi za ujenzi wa Skimu ya Ifumbo. Kazi hii ikikamilika taratibu za manunuzi za kumpata mkandarasi, kwa ajili ya ujenzi wa skimu hizi zitafuata.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved