Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 1 | Health and Social Welfare | Wizara ya Afya | 13 | 2025-01-28 |
Name
Husna Juma Sekiboko
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. RASHID A. SHANGAZI K.n.y. MHE. HUSNA J. SEKIBOKO aliuliza: -
Je, upi uwiano wa madaktari na wagonjwa nchini?
Name
Stanslaus Haroon Nyongo
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Maswa Mashariki
Answer
NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI k.n.y. WAZIRI WA AFYA alijibu:-
Mheshimiwa Spika, kwa sasa hapa nchini uwiano wa madaktari na wagonjwa ni madaktari 8.4 kwa kila watu 10,000. Uwiano huu ni sawa na theluthi moja ya viwango vilivyopendekezwa na Shirika la Afya Duniani kwa nchi zinazoendelea ambapo inapendekezwa uwepo wa uwiano wa Madaktari 22.8 kwa kila watu 10,000. Aidha kwa nchi zilizoendelea uwiano ni Madaktari 2.4 kwa watu 1000.
Mheshimiwa Spika, ninaomba kuwasilisha.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved