Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 1 | Livestock , Fisheries, Agriculture, Food Security and Cooperatives | Waziri wa Mifugo na Uvuvi | 20 | 2025-01-28 |
Name
Yahaya Omary Massare
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Manyoni Magharibi
Primary Question
MHE. YAHAYA O. MASSARE aliuliza:-
Je, majosho mangapi yatajengwa katika Halmashauri ya Itigi katika Mwaka huu wa Fedha?
Name
Dr. Ashatu Kachwamba Kijaji
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Kondoa
Answer
NAIBU WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI K.n.y. WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI alijibu:-
Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2022/2023 Wizara ilijenga majosho saba yenye thamani ya shilingi 161,000,000 katika Kata ya Kitaraka yalijengwa majosho mawili, Mwamagembe josho moja, Idodyandole josho moja, Mitundu josho moja, Mtakuja josho moja na Majengo josho moja, katika Halmashauri ya Itigi. Aidha, Wizara itaendelea kuweka katika mpango wa bajeti ya mwaka 2025/2026, ujenzi wa majosho nchini yakiwemo majosho katika Halmashauri ya Itigi kulingana na upatikanaji wa fedha.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved