Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 6 | Works and Transport | Wizara ya Uchukuzi | 100 | 2025-02-04 |
Name
Condester Michael Sichalwe
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Momba
Primary Question
MHE. CONDESTER M. SICHALWE aliuliza: -
Je, Serikali ina mkakati gani kwa kushirikiana na Serikali ya DRC kuanzisha usafiri wa kufika Lubumbashi kupita Ziwa Tanganyika?
Name
Prof. Makame Mnyaa Mbarawa
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mkoani
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI K.n.y. WAZIRI WA UCHUKUZI alijibu: -
Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali kupitia Kampuni ya Meli Tanzania (TASHICO) inakamilisha miradi ya ukarabati wa meli zake tatu ambazo ni MV Liemba na MV. Mwongozo zitakazofanya kazi kati ya Bandari za Kigoma na Karema kwa upande wa Tanzania na Bandari ya Kalemie kwa upande wa DRC na siyo Lubumbashi. Aidha, Serikali ipo katika hatua za mwisho za ujenzi wa meli mpya ya abiria na mizigo itakayofanya kazi kati ya nchi hizo mbili, ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved