Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 2 | Home Affairs | Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi | 24 | 2025-04-09 |
Name
Abubakar Damian Asenga
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kilombero
Primary Question
MHE. ABUBAKARI D. ASENGA aliuliza:-
Je, lini Serikali itatimiza ahadi ya ujenzi wa Kituo cha Polisi Wilaya ya Kilombero?
Name
Daniel Baran Sillo
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Babati Vijijini
Answer
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI alijibu:-
Mheshimiwa Spika, ujenzi wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Kilombero ulianza mwezi Juni, 2024. Ujenzi umefika kwenye hatua ya umaliziaji na hadi sasa Serikali imeshatoa kiasi cha fedha shilingi 651,000,000 kwa ajili ya ujenzi huo. Kazi zinazoendelea kufanyika kwa sasa ni kuweka sakafu ya vigae, dari ya jasi, kuweka vioo kwenye madirisha na kupaka rangi. Ahsante. (Makofi)
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved