Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 2 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 27 | 2025-04-09 |
Name
Silvestry Fransis Koka
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kibaha Mjini
Primary Question
MHE. JACKSON G. KISWAGA K.n.y. MHE. SILVESTRY F. KOKA aliuliza:-
Je, lini Serikali itaendeleza upanuzi wa Barabara kipande cha Kibaha – Chalinze kuwa njia nane ili kuondoa msongamano wa magari Kibaha?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-
Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali haitaendeleza upanuzi wa Barabara sehemu ya Kibaha – Chalinze, badala yake Serikali itajenga Express Way ya kutoka Kibaha – Chalinze – Morogoro (kilometa 220) kwa utaratibu wa ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (Public Private Partnership (PPP)). Kwa sehemu ya Kibaha – Chalinze, zabuni ya kumpata mwekezaji iko katika hatua ya mwisho ya majadiliano. Ujenzi unatarajiwa kuanza baada ya majadiliano kukamilika na mkataba (Concession Agreement) kusainiwa.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved