Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 2 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 28 | 2025-04-09 |
Name
Subira Khamis Mgalu
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. LEAH J. KOMANYA K.n.y. MHE. SUBIRA K. MGALU aliuliza:-
Je, lini ujenzi wa Daraja la Mpiji Chini, Kata ya Mapinga, utakamilika?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-
Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) itajenga Daraja la Mpiji kupitia Mpango wa Matengenezo ya Dharura yanayogharamiwa kwa fedha za mkopo nafuu kutoka Benki ya Dunia, kupitia Crisis Response Window. Kwa sasa taratibu za manunuzi ya kumpata mkandarasi wa ujenzi wa daraja hilo zinaendelea na mara baada ya kukamilika ujenzi utaanza. Ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved