Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 2 | Community Development, Gender and Children | Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum | 30 | 2025-04-09 |
Name
Mariam Madalu Nyoka
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. MARIAM M. NYOKA aliuliza:-
Je, Serikali imejipangaje kutoa elimu ya mikopo ya Mifuko mbalimbali inayokopesha makundi maalum?
Name
Mwanaidi Ali Khamis
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Answer
NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUM alijibu:-
Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum inaendelea kushirikiana na Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Ofisi za Wakuu wa Mikoa, Ofisi za Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Halmashauri na viongozi wa wafanyabiashara ndogondogo tunaendelea kuhamasisha na kutoa elimu kwa umma kupitia mikutano ya hadhara, vyombo vya habari na watu mashuhuri kupitia majukwaa yao kutoa elimu juu ya uwepo wa mikopo yenye masharti nafuu inayotolewa na Serikali kwa makundi maalum. Ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved