Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 3 | Regional Administration and Local Government Authorities | Ofisi ya Rais TAMISEMI. | 31 | 2025-04-10 |
Name
Eng. Stella Martin Manyanya
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Nyasa
Primary Question
MHE. CONDESTER M. SICHALWE K.n.y. MHE. ENG. STELLA M. MANYANYA aliuliza:-
Je, lini ahadi ya Serikali ya kujenga wodi, Kituo cha Afya Kihagara itatekelezwa ili kuondoa changamoto kubwa iliyopo?
Name
Dr. Festo John Dugange
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Wanging'ombe
Answer
NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUGANGE) alijibu: -
Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inatambua umuhimu na uhitaji wa ujenzi wa wodi katika kituo cha Afya Kihagara kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa. Katika mipango ya mwaka wa fedha 2026/2027, Serikali itatenga shilingi milioni 200, kwa ajili ya ujenzi wa wodi tatu (watoto, wanawake na wananume) katika Kituo cha Afya Kihagara. Ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved