Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 3 | Works and Transport | Wizara ya Uchukuzi | 38 | 2025-04-10 |
Name
Antipas Zeno Mngungusi
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Malinyi
Primary Question
MHE. DKT. CHRISTINE G. ISHENGOMA K.n.y. MHE. ANTIPAS Z. MGUNGUSI aliuliza:-
Je, Serikali ipo tayari kutenga fedha za ujenzi wa kilometa chache za Barabara ya Lupiro, Malinyi, Kilosa kwa Mpepo na Namtumbo ambayo ni ya Ilani ya CCM?
Name
David Mwakiposa Kihenzile
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mufindi Kusini
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-
Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali tayari imesaini mkataba wa ujenzi kwa kiwango cha lami kwa utaratibu wa Sanifu na Jenga kwa sehemu ya Ifakara – Lupiro – Mtimbira yenye urefu wa kilometa 112 ikiwa ni sehemu ya barabara kutoka Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa kwa Mpepo – Londo hadi Lumecha Mkoa wa Ruvuma ambapo hiyo barabara yote kwa ujumla wake ina kilometa 435.8 kwa kiwango cha lami. Ahsante. (Makofi)
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved