Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 6 | Livestock , Fisheries, Agriculture, Food Security and Cooperatives | Wizara ya Kilimo | 80 | 2025-04-15 |
Name
Abeid Ighondo Ramadhani
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Singida Kaskazini
Primary Question
MHE. ABEID R. IGHONDO aliuliza:-
Je, lini ujenzi wa Skimu ya Umwagiliaji katika Jimbo la Singida Kaskazini utaanza?
Name
David Ernest Silinde
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Tunduma
Answer
NAIBU WAZIRI WA KILIMO alijibu:-
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji inaendelea na utekelezaji wa miradi ya umwagiliaji ambayo imefikia hatua mbalimbali. Mradi wa Skimu ya Mughamo kwa sasa upo katika hatua ya kukamilisha usanifu. Usanifu huo utakapokamilika, taratibu za kutangaza, kwa ajili ya kupata mkandarasi zitaanza mara moja. Ahsante sana.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved