Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 7 | Energy and Minerals | Wizara ya Nishat | 88 | 2025-04-16 |
Name
Iddi Kassim Iddi
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Msalala
Primary Question
MHE. SANTIEL E. KIRUMBA K.n.y. MHE. IDDI K. IDDI aliuliza: -
Je, Serikali ina mpango gani wa kuwaunganishia umeme wateja waliolipia kabla ya mabadiliko ya bei katika Halmashauri ya Msalala?
Name
Doto Mashaka Biteko
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Bukombe
Answer
NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII K.n.y. WAZIRI WA NISHATI alijibu: -
Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha kupeleka umeme vijijini na sasa inaendelea na kupeleka umeme vitongojini ambapo katika maeneo haya wananchi wanaunganishiwa umeme kwa gharama ya shilingi 27,000.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved