Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 7 | Health and Social Welfare | Wizara ya Afya | 93 | 2025-04-16 |
Name
Aysharose Ndogholi Mattembe
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. DKT. RITTA E. KABATI K.n.y. MHE. AYSHAROSE N. MATTEMBE aliuliza: -
Je, lini Serikali itakamilisha ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida?
Name
Dr. Godwin Oloyce Mollel
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Siha
Answer
NAIBU WAZIRI WA AFYA alijibu: -
Mheshimiwa Spika, Mradi wa Hospitali ya Mkoa Singida unatekelezwa kwa awamu ambapo hadi sasa Serikali imeshatoa fedha kiasi cha shilingi bilioni 9.3 ambapo awamu ya kwanza zilitolewa shilingi bilioni sita na awamu ya pili shilingi bilioni 3.3.
Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2024/2025 Serikali imetenga fedha kiasi cha shilingi bilioni nne kwa ajili za ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Singida ikiwa ni awamu ya III (Phase III). Ujenzi huu unatarajia kukamilika ifikapo mwezi Januari, 2027.
Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha. (Makofi)
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved