Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 10 | Regional Administration and Local Government Authorities | Ofisi ya Rais TAMISEMI. | 119 | 2025-04-23 |
Name
Emmanuel Lekishon Shangai
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ngorongoro
Primary Question
MHE. EMMANUEL L. SHANGAI aliuliza:-
Je, lini Serikali itatenga fedha za ujenzi wa Daraja la Mto Juhe, Kata ya Samunge?
Name
Zainab Athuman Katimba
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Answer
NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. ZAINAB A. KATIMBA) alijibu:-
Mheshimiwa Spika, Serikali imeliweka Daraja la Mto Juhe kwenye mpango wa madaraja yatakayofanyiwa usanifu kuanzia Mwaka wa Fedha 2025/2026, ambapo shilingi 114,890,000 zinatarajiwa kutumika katika kufanya usanifu.
Mheshimiwa Spika, Serikali itaendelea kuihudumia miundombinu ya barabara na madaraja Ngorongoro kwa kujenga, kukarabati na kufanya matengenezo ya miundombinu hiyo kulingana na upatikanaji wa fedha.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved