Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Primary Question

Term Session Sitting Sector Ministry Qn No Date
2020-2025 Session 19 Sitting 10 Livestock , Fisheries, Agriculture, Food Security and Cooperatives Waziri wa Mifugo na Uvuvi 126 2025-04-23

Name

Naghenjwa Livingstone Kaboyoka

Sex

Female

Party

CHADEMA

Constituent

Special Seats

Primary Question

MHE. CECILIA D. PARESSO K.n.y. MHE. NAGHENJWA L. KABOYOKA aliuliza:-
Je, kwa nini Mabwawa ya Samaki yaliyopo Kata ya Kalemawe – Same yasikabidhiwe kwa wananchi wa Kata hiyo?

Name

Dr. Ashatu Kachwamba Kijaji

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Kondoa

Answer

NAIBU WAZIRI WA KILIMO K.n.y. WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI alijibu:-

Mheshimiwa Spika, ahsante sana. Mradi wa Mabwawa ya Samaki yaliyopo Kata ya Kalemawe yapo chini ya Halmashauri ya Wilaya ya Same. Aidha, Wizara itashirikiana na Halmashauri ya Same ili kuona namna bora ya usimamizi wa matumizi ya mabwawa hayo, ili ikiwezekana yakabidhiwe kwa wananchi wa Kata ya Kalemawe ili yaweze kuwanufaisha kiuchumi.