Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 43 | Health and Social Welfare | Wizara ya Afya | 555 | 2025-06-10 |
Name
Boniphace Mwita Getere
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Bunda
Primary Question
MHE. BONIPHACE M. GETERE aliuliza: -
Je, kwa nini tangu mwaka 2018 hadi leo MSD haijapeleka majokofu manne ya mochwari katika Kituo cha Afya Mugeta – Bunda?
Name
Dr. Godwin Oloyce Mollel
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Siha
Answer
NAIBU WAZIRI WA AFYA alijibu: -
Mheshimiwa Mwenyekiti, tarehe 21 Februari, 2024 Serikali kupitia Bohari Kuu ya Dawa (MSD) ilipeleka jokofu lenye uwezo wa kuhifadhi miili sita katika Kituo cha Afya Mugeta na hadi sasa jokofu hili linafanya kazi vizuri.
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali itaendelea kununua na kusambaza vifaa tiba katika vituo vya kutolea huduma za afya kulingana na upatikanaji wa fedha.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved