Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 43 | Home Affairs | Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi | 560 | 2025-06-10 |
Name
Mustafa Mwinyikondo Rajab
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Dimani
Primary Question
MHE. HAJI AMOUR HAJI K.n.y. MHE. MUSTAFA MWINYIKONDO RAJAB aliuliza: -
Je, lini Serikali itapeleka magari katika Vituo vya Polisi Wilaya ya Magharibi B?
Name
Daniel Baran Sillo
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Babati Vijijini
Answer
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI alijibu: -
Mheshimiwa Mwenyekiti, mwezi Mei, 2025 Serikali imepeleka gari jipya aina ya Toyota Land Cruiser Pickup kwa Wilaya ya Magharibi B Unguja na kufanya wilaya hiyo kuwa na magari mawili sasa. Serikali itaendelea kutenga fedha toka kwenye bajeti yake kila mwaka kwa ajili ya kununua magari na vitendea kazi vingine kwa matumizi ya Jeshi la Polisi na kugawa katika mikoa na wilaya zote hapa nchini, ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved