Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 11 | Energy and Minerals | Wizara ya Nishat | 181 | 2025-02-11 |
Name
Issa Jumanne Mtemvu
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kibamba
Primary Question
MHE. ISSA J. MTEMVU aliuliza:-
Je, Serikali inatofautishaje Kaya Maskini Vijijini na Mijini katika kuwaunganishia umeme nchini?
Name
Judith Salvio Kapinga
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Answer
NAIBU WAZIRI WA NISHATI alijibu:-
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali kupitia TANESCO na EWURA imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme kwa wateja, ambapo gharama hizo hutofautiana kulingana na hali ya eneo. Kulingana na mwongozo huo, maeneo yanayotambuliwa kama miji na vijiji miji, gharama ya kuunganisha umeme ni shilingi 320,960 na kwa maeneo ya vijiji gharama ya kuunganisha umeme ni shilingi 27,000, ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved