Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 22 | Health and Social Welfare | Wizara ya Afya | 286 | 2025-05-12 |
Name
Mwantatu Mbarak Khamis
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
House of Representatives
Primary Question
MHE. DKT. THEA M. NTARA K.n.y. MHE. MWANTATU MBARAK KHAMIS aliuliza:-
Je, kwa kiasi gani huduma za utengamao zinazotolewa na Wizara ya Afya zinasaidia watu wenye ulemavu kumudu maisha na kuleta maendeleo?
Name
Dr. Godwin Oloyce Mollel
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Siha
Answer
NAIBU WAZIRI WA AFYA alijibu:-
Mheshimiwa Mwenyekiti, tiba za utengamao (rehabilitation) ni muhimu kwa watu wenye ulemavu, kwani zinawasaidia kurejesha au kuboresha uwezo wao wa kujitegemea, kuishi kwa furaha na kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii.
Mheshimiwa Mwenyekiti, ninaomba kuwasilisha.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved