Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 22 | Energy and Minerals | Wizara ya Nishat | 280 | 2025-05-12 |
Name
Twaha Ally Mpembenwe
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kibiti
Primary Question
MHE. TWAHA A. MPEMBENWE aliuliza:-
Je, kuna mkakati gani wa kutatua tatizo la kukatika kwa umeme katika Jimbo la Kibiti?
Name
Judith Salvio Kapinga
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Answer
NAIBU WAZIRI WA NISHATI alijibu:-
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inatekeleza mikakati mbalimbali ya matengenezo na ukarabati wa njia za kusafirisha na kusambaza umeme katika Wilaya ya Kibiti ili kuondokana na tatizo la kukatika kwa umeme kunakotokana na uchakavu wa miundombinu hiyo. Mikakati hiyo ni kubadili nyanya za umeme kwa kuweka zenye uwezo mkubwa, kubadili nguzo za umeme na kuweka za zege, kubadili Pin insulators na kuweka mpya, na kufunga vidhibiti matatizo (kwenye line zenye urefu wa zaidi ya kilometa 50. Ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved