Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 22 | Works and Transport | Wizara ya Uchukuzi | 283 | 2025-05-12 |
Name
Neema Gerald Mwandabila
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. NEEMA G. MWANDABILA aliuliza:-
Je, Serikali imetoa fedha kiasi gani za ujenzi wa Bandari Kavu katika Mji wa Tunduma ambayo ni muhimu katika kukuza uchumi wa Taifa?
Name
Prof. Makame Mnyaa Mbarawa
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mkoani
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI K.n.y. WAZIRI WA UCHUKUZI alijibu: -
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali kupitia Mamlaka ya Bandari (TPA) imeainisha eneo lenye ukubwa wa ekari 1,600 katika Kijiji cha Mpemba Mkoani Songwe litakalotumika kujenga Bandari Kavu ambayo itahudumia maeneo ya mipakani ikiwemo Tunduma. Kwa sasa hatua iliyofikiwa ni taratibu za utwaaji wa ardhi ili kuruhusu mipango ya ujenzi wa bandari hiyo hivyo, gharama halisi zitajulikana baadaye, ahsante. (Makofi)
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved