Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Primary Question

Term Session Sitting Sector Ministry Qn No Date
2020-2025 Session 19 Sitting 23 Youth, Disabled, Labor and Employment Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu 289 2025-05-13

Name

Hassan Seleman Mtenga

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Mtwara Mjini

Primary Question

MHE. RASHID A. SHANGAZI K.n.y. MHE. HASSAN S. MTENGA aliuliza:-

Je, Serikali imefikia wapi kufuatilia kesi inayomkabili Human Resources Manager wa Kampuni ya Dangote Cement Mtwara?

Name

Ridhiwani Jakaya Kikwete

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Chalinze

Answer

NAIBU WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA K.n.y. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, KAZI, AJIRA, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU alijibu:-

Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali ilifanya ukaguzi maalum katika Kiwanda cha Saruji cha Dangote kwa lengo la kuangalia utekelezaji wa Sheria za Kazi, ikiwemo Sheria ya Usimamizi wa Ajira za Wageni, Sura 436. Aidha, ukaguzi huo haukuweza kupata ushahidi kuhusu uwepo wa kesi inayomkabili Meneja Rasilimali Watu, nakushukuru sana.