Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Name
Godwin Emmanuel Kunambi
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mlimba
Primary Question
MHE. GODWIN E. KUNAMBI aliuliza:- Je, lini Serikali itafuta Hati ya Shamba la Balali na kuwakabidhi wananchi wa Melela?
Supplementary Question 1
MHE. GODWIN E. KUNAMBI: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante kwa kunipa fursa ya kuuliza maswali mawili ya nyongeza. Swali la kwanza; mgogoro huu wa Shamba la Balali unafanana kabisa na mgogoro wa Shamba la Kambenga. Je, Serikali ina mpango gani katika kuutatua mgogoro wa Kambenga?
Mheshimiwa Mwenyekiti, jana jioni nimepokea wananchi kutoka Kijiji cha Utengule wakiambatana na Mwenyekiti wao wa Kijiji kuna mgogoro baina ya Kitalu cha uwindaji na wananchi wa Kijiji cha Utengule. Je, yupo tayari mara tu baada ya kipindi hiki cha Bunge nimkutanishe na hao wananchi niliowapokea jana?
Name
Dunstan Luka Kitandula
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mkinga
Answer
NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII K.n.y WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI: Mheshimiwa Mwenyekiti, ninaomba kujibu maswali mawili ya Mheshimiwa Mbunge kama ifuatavyo:-
Mheshimiwa Mwenyekiti, ninakubaliana naye kwamba mara baada ya kipindi hiki cha maswali tukutane ili kuweze kujadili mambo yote haya mawili.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved