Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Name
Maryam Azan Mwinyi
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Chake Chake
Primary Question
MHE. MARYAM AZAN MWINYI K.n.y. MHE. MARIAM N. KISANGI aliuliza: - Je, kuna mpango gani wa kuwawezesha wavuvi wa Kigamboni kwa kuwapatia vifaa vya kisasa vya uvuvi?
Supplementary Question 1
MHE. MARYAM AZAN MWINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, tunashukuru sana kwa majibu mazuri ya Serikali. Nina swali moja la nyongeza, je, ni lini Serikali itapeleka boti kwenye Ziwa Nyasa?
Name
Alexander Pastory Mnyeti
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Misungwi
Answer
NAIBU WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI: Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Ziwa Nyasa tayari Serikali imeshapeleka boti. Kuna vikundi viwili ambavyo viliomba boti na jumla ya boti tano tumeshapeleka katika Ziwa Nyasa, lakini tunaendelea kupokea maombi, tupo tayari kuendelea kuongeza boti katika eneo hilo la Ziwa Nyasa.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved